Prev
70. Surah Al-Ma'ârij سورة المعارج
Next
1st Ayah 1 الأية ١الأوليبِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
سَأَلَ سَائِلٌ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ
Saala sa-ilun biAAathabin waqiAA
Swahili
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
|
Ayah 70:2 الأية
لِّلْكَافِرِينَ لَيْسَ لَهُ دَافِعٌ
Lilkafireena laysa lahu dafiAA
Swahili
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
|
Ayah 70:3 الأية
مِّنَ اللهِ ذِي الْمَعَارِجِ
Mina Allahi thee almaAAarij
Swahili
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
|
Ayah 70:4 الأية
تَعْرُجُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ
خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ
TaAAruju almala-ikatu warroohuilayhi fee yawmin kana miqdaruhu khamseena
alfasana
Swahili
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka
khamsini elfu!
|
Ayah 70:5 الأية
فَاصْبِرْ صَبْرًا جَمِيلًا
Fasbir sabran jameela
Swahili
Basi subiri kwa subira njema.
|
Ayah 70:6 الأية
إِنَّهُمْ يَرَوْنَهُ بَعِيدًا
Innahum yarawnahu baAAeeda
Swahili
Hakika wao wanaiona iko mbali,
|
Ayah 70:7 الأية
وَنَرَاهُ قَرِيبًا
Wanarahu qareeba
Swahili
Na Sisi tunaiona iko karibu.
|
Ayah 70:8 الأية
يَوْمَ تَكُونُ السَّمَاءُ كَالْمُهْلِ
Yawma takoonu assamao kalmuhl
Swahili
Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
|
Ayah 70:9 الأية
وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ
Watakoonu aljibalu kalAAihn
Swahili
Na milima itakuwa kama sufi.
|
Ayah 70:10 الأية
وَلَا يَسْأَلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا
Wala yas-alu hameemun hameema
Swahili
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
|
Ayah 70:11 الأية
يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ
بِبَنِيهِ
Yubassaroonahum yawaddu almujrimu lawyaftadee min AAathabi yawmi-ithin bibaneeh
Swahili
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya
siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
|
Ayah 70:12 الأية
وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ
Wasahibatihi waakheeh
Swahili
Na mkewe, na nduguye,
|
Ayah 70:13 الأية
وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ
Wafaseelatihi allatee tu/weeh
Swahili
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
|
Ayah 70:14 الأية
وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ
Waman fee al-ardi jameeAAan thummayunjeeh
Swahili
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
|
Ayah 70:15 الأية
كَلَّا ۖ إِنَّهَا لَظَىٰ
Kalla innaha latha
Swahili
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
|
Ayah 70:16 الأية
نَزَّاعَةً لِّلشَّوَىٰ
NazzaAAatan lishshawa
Swahili
Unao babua ngozi ya kichwa!
|
Ayah 70:17 الأية
تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ
TadAAoo man adbara watawalla
Swahili
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
|
Ayah 70:18 الأية
وَجَمَعَ فَأَوْعَىٰ
WajamaAAa faawAAa
Swahili
Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
|
Ayah 70:19 الأية
إِنَّ الْإِنسَانَ خُلِقَ هَلُوعًا
Inna al-insana khuliqa halooAAa
Swahili
Hakika mtu ameumbwa na papara.
|
Ayah 70:20 الأية
إِذَا مَسَّهُ الشَّرُّ جَزُوعًا
Itha massahu ashsharrujazooAAa
Swahili
Inapo mgusa shari hupapatika.
|
Ayah 70:21 الأية
وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعًا
Wa-itha massahu alkhayru manooAAa
Swahili
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
|
Ayah 70:22 الأية
إِلَّا الْمُصَلِّينَ
Illa almusalleen
Swahili
Isipo kuwa wanao sali,
|
Ayah 70:23 الأية
الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Allatheena hum AAala salatihimda-imoon
Swahili
Ambao wanadumisha Sala zao,
|
Ayah 70:24 الأية
وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَّعْلُومٌ
Wallatheena fee amwalihimhaqqun maAAloom
Swahili
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
|
Ayah 70:25 الأية
لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Lissa-ili walmahroom
Swahili
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
|
Ayah 70:26 الأية
وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Wallatheena yusaddiqoonabiyawmi addeen
Swahili
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
|
Ayah 70:27 الأية
وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Wallatheena hum min AAathabirabbihim mushfiqoon
Swahili
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
|
Ayah 70:28 الأية
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ
Inna AAathaba rabbihim ghayru ma/moon
Swahili
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
|
Ayah 70:29 الأية
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Wallatheena hum lifuroojihim hafithoon
Swahili
Na ambao wanahifadhi tupu zao.
|
Ayah 70:30 الأية
إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ
مَلُومِينَ
Illa AAala azwajihim awma malakat aymanuhum fa-innahum ghayru maloomeen
Swahili
Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao
hawalaumiwi -
|
Ayah 70:31 الأية
فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Famani ibtagha waraa thalikafaola-ika humu alAAadoon
Swahili
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
|
Ayah 70:32 الأية
وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Wallatheena hum li-amanatihimwaAAahdihim raAAoon
Swahili
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
|
Ayah 70:33 الأية
وَالَّذِينَ هُم بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Wallatheena hum bishahadatihimqa-imoon
Swahili
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
|
Ayah 70:34 الأية
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Wallatheena hum AAala salatihimyuhafithoon
Swahili
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
|
Ayah 70:35 الأية
أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ
Ola-ika fee jannatin mukramoon
Swahili
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
|
Ayah 70:36 الأية
فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Famali allatheena kafarooqibalaka muhtiAAeen
Swahili
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
|
Ayah 70:37 الأية
عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ
AAani alyameeni waAAani ashshimaliAAizeen
Swahili
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
|
Ayah 70:38 الأية
أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ
AyatmaAAu kullu imri-in minhum anyudkhala jannata naAAeem
Swahili
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
|
Ayah 70:39 الأية
كَلَّا ۖ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّمَّا يَعْلَمُونَ
Kalla inna khalaqnahummimma yaAAlamoon
Swahili
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
|
Ayah 70:40 الأية
فَلَا أُقْسِمُ بِرَبِّ الْمَشَارِقِ وَالْمَغَارِبِ إِنَّا لَقَادِرُونَ
Fala oqsimu birabbi almashariqiwalmagharibi inna laqadiroon
Swahili
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi
tunaweza
|
Ayah 70:41 الأية
عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ خَيْرًا مِّنْهُمْ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ
AAala an nubaddila khayran minhum wamanahnu bimasbooqeen
Swahili
Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
|
Ayah 70:42 الأية
فَذَرْهُمْ يَخُوضُوا وَيَلْعَبُوا حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي
يُوعَدُونَ
Fatharhum yakhoodoowayalAAaboo hatta yulaqoo yawmahumu allatheeyooAAadoon
Swahili
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
|
Ayah 70:43 الأية
يَوْمَ يَخْرُجُونَ مِنَ الْأَجْدَاثِ سِرَاعًا كَأَنَّهُمْ إِلَىٰ نُصُبٍ
يُوفِضُونَ
Yawma yakhrujoona mina al-ajdathi siraAAankaannahum ila nusubin yoofidoon
Swahili
Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
|
Ayah 70:44 الأية
خَاشِعَةً أَبْصَارُهُمْ تَرْهَقُهُمْ ذِلَّةٌ ۚ ذَٰلِكَ الْيَوْمُ الَّذِي كَانُوا
يُوعَدُونَ
KhashiAAatan absaruhumtarhaquhum thillatun thalika alyawmu allatheekanoo
yooAAadoon
Swahili
Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa
wakiahidiwa.
|
©
EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us
|
|