Prev  

101. Surah Al-Qâri'ah سورة القارعة

  Next  



1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
الْقَارِعَةُ
AlqariAAa

Swahili
 
Inayo gonga!

Ayah  101:2  الأية
مَا الْقَارِعَةُ
Ma alqariAAa

Swahili
 
Nini Inayo gonga?

Ayah  101:3  الأية
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُ
Wama adraka ma alqariAAa

Swahili
 
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

Ayah  101:4  الأية
يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِ
Yawma yakoonu annasu kalfarashialmabthooth

Swahili
 
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

Ayah  101:5  الأية
وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنفُوشِ
Watakoonu aljibalu kalAAihnialmanfoosh

Swahili
 
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

Ayah  101:6  الأية
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ
Faamma man thaqulat mawazeenuh

Swahili
 
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

Ayah  101:7  الأية
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ
Fahuwa fee AAeeshatin radiya

Swahili
 
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

Ayah  101:8  الأية
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَازِينُهُ
Waamma man khaffat mawazeenuh

Swahili
 
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

Ayah  101:9  الأية
فَأُمُّهُ هَاوِيَةٌ
Faommuhu hawiya

Swahili
 
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

Ayah  101:10  الأية
وَمَا أَدْرَاكَ مَا هِيَهْ
Wama adraka ma hiya

Swahili
 
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

Ayah  101:11  الأية
نَارٌ حَامِيَةٌ
Narun hamiya

Swahili
 
Ni Moto mkali!
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us