Prev  

77. Surah Al-Mursalât سورة المرسلات

  Next  



1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا
Walmursalati AAurfa

Swahili
 
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!

Ayah  77:2  الأية
فَالْعَاصِفَاتِ عَصْفًا
FalAAasifati AAasfa

Swahili
 
Na zinazo vuma kwa kasi!

Ayah  77:3  الأية
وَالنَّاشِرَاتِ نَشْرًا
Wannashirati nashra

Swahili
 
Na zikaeneza maeneo yote!

Ayah  77:4  الأية
فَالْفَارِقَاتِ فَرْقًا
Falfariqati farqa

Swahili
 
Na zinazo farikisha zikatawanya!

Ayah  77:5  الأية
فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا
Falmulqiyati thikra

Swahili
 
Na zinazo peleka mawaidha!

Ayah  77:6  الأية
عُذْرًا أَوْ نُذْرًا
AAuthran aw nuthra

Swahili
 
Kwa kuudhuru au kuonya,

Ayah  77:7  الأية
إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَاقِعٌ
Innama tooAAadoona lawaqiAA

Swahili
 
Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa!

Ayah  77:8  الأية
فَإِذَا النُّجُومُ طُمِسَتْ
Fa-itha annujoomu tumisat

Swahili
 
Wakati nyota zitakapo futwa,

Ayah  77:9  الأية
وَإِذَا السَّمَاءُ فُرِجَتْ
Wa-itha assamao furijat

Swahili
 
Na mbingu zitakapo pasuliwa,

Ayah  77:10  الأية
وَإِذَا الْجِبَالُ نُسِفَتْ
Wa-itha aljibalu nusifat

Swahili
 
Na milima itakapo peperushwa,

Ayah  77:11  الأية
وَإِذَا الرُّسُلُ أُقِّتَتْ
Wa-itha arrusulu oqqitat

Swahili
 
Na Mitume watakapo wekewa wakati wao,

Ayah  77:12  الأية
لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ
Li-ayyi yawmin ojjilat

Swahili
 
Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo?

Ayah  77:13  الأية
لِيَوْمِ الْفَصْلِ
Liyawmi alfasl

Swahili
 
Kwa siku ya kupambanua!

Ayah  77:14  الأية
وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ
Wama adraka ma yawmualfasl

Swahili
 
Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini?

Ayah  77:15  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:16  الأية
أَلَمْ نُهْلِكِ الْأَوَّلِينَ
Alam nuhliki al-awwaleen

Swahili
 
Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?

Ayah  77:17  الأية
ثُمَّ نُتْبِعُهُمُ الْآخِرِينَ
Thumma nutbiAAuhumu al-akhireen

Swahili
 
Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?

Ayah  77:18  الأية
كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِالْمُجْرِمِينَ
Kathalika nafAAalu bilmujrimeen

Swahili
 
Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!

Ayah  77:19  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:20  الأية
أَلَمْ نَخْلُقكُّم مِّن مَّاءٍ مَّهِينٍ
Alam nakhluqkum min ma-in maheen

Swahili
 
Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?

Ayah  77:21  الأية
فَجَعَلْنَاهُ فِي قَرَارٍ مَّكِينٍ
FajaAAalnahu fee qararinmakeen

Swahili
 
Kisha tukayaweka mahali pa utulivu madhubuti?

Ayah  77:22  الأية
إِلَىٰ قَدَرٍ مَّعْلُومٍ
Ila qadarin maAAloom

Swahili
 
Mpaka muda maalumu?

Ayah  77:23  الأية
فَقَدَرْنَا فَنِعْمَ الْقَادِرُونَ
Faqadarna faniAAma alqadiroon

Swahili
 
Tukakadiria na Sisi ni wabora wa kukadiria.

Ayah  77:24  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:25  الأية
أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ كِفَاتًا
Alam najAAali al-arda kifata

Swahili
 
Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya

Ayah  77:26  الأية
أَحْيَاءً وَأَمْوَاتًا
Ahyaan waamwata

Swahili
 
Walio hai na maiti?

Ayah  77:27  الأية
وَجَعَلْنَا فِيهَا رَوَاسِيَ شَامِخَاتٍ وَأَسْقَيْنَاكُم مَّاءً فُرَاتًا
WajaAAalna feeha rawasiyashamikhatin waasqaynakum maan furata

Swahili
 
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tunakunywesheni maji matamu?

Ayah  77:28  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:29  الأية
انطَلِقُوا إِلَىٰ مَا كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Intaliqoo ila ma kuntumbihi tukaththiboon

Swahili
 
Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!

Ayah  77:30  الأية
انطَلِقُوا إِلَىٰ ظِلٍّ ذِي ثَلَاثِ شُعَبٍ
Intaliqoo ila thillinthee thalathi shuAAab

Swahili
 
Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!

Ayah  77:31  الأية
لَّا ظَلِيلٍ وَلَا يُغْنِي مِنَ اللهَبِ
La thaleelin walayughnee mina allahab

Swahili
 
Hakikingi moto, wala hakiwaepushi na mwako.

Ayah  77:32  الأية
إِنَّهَا تَرْمِي بِشَرَرٍ كَالْقَصْرِ
Innaha tarmee bishararin kalqasr

Swahili
 
Hakika Moto huo unatoa macheche kama majumba!

Ayah  77:33  الأية
كَأَنَّهُ جِمَالَتٌ صُفْرٌ
Kaannahu jimalatun sufr

Swahili
 
Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!

Ayah  77:34  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:35  الأية
هَٰذَا يَوْمُ لَا يَنطِقُونَ
Hatha yawmu la yantiqoon

Swahili
 
Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,

Ayah  77:36  الأية
وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ
Wala yu/thanu lahum fayaAAtathiroon

Swahili
 
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.

Ayah  77:37  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!

Ayah  77:38  الأية
هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ
Hatha yawmu alfasli jamaAAnakumwal-awwaleen

Swahili
 
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.

Ayah  77:39  الأية
فَإِن كَانَ لَكُمْ كَيْدٌ فَكِيدُونِ
Fa-in kana lakum kaydun fakeedoon

Swahili
 
Ikiwa mnayo hila, nifanyieni hila Mimi!

Ayah  77:40  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!

Ayah  77:41  الأية
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي ظِلَالٍ وَعُيُونٍ
Inna almuttaqeena fee thilalinwaAAuyoon

Swahili
 
Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,

Ayah  77:42  الأية
وَفَوَاكِهَ مِمَّا يَشْتَهُونَ
Wafawakiha mimma yashtahoon

Swahili
 
Na matunda wanayo yapenda,

Ayah  77:43  الأية
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Kuloo washraboo hanee-an bimakuntum taAAmaloon

Swahili
 
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.

Ayah  77:44  الأية
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Inna kathalika najzee almuhsineen

Swahili
 
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.

Ayah  77:45  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:46  الأية
كُلُوا وَتَمَتَّعُوا قَلِيلًا إِنَّكُم مُّجْرِمُونَ
Kuloo watamattaAAoo qaleelan innakummujrimoon

Swahili
 
Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!

Ayah  77:47  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:48  الأية
وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ ارْكَعُوا لَا يَرْكَعُونَ
Wa-itha qeela lahumu irkaAAoo layarkaAAoon

Swahili
 
Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.

Ayah  77:49  الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen

Swahili
 
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Ayah  77:50  الأية
فَبِأَيِّ حَدِيثٍ بَعْدَهُ يُؤْمِنُونَ
Fabi-ayyi hadeethin baAAdahuyu/minoon

Swahili
 
Basi maneno gani baada ya haya watayaamini?




© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us
 
   
 
   
  
X