Prev  

80. Surah 'Abasa سورة عبس

  Next  



1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
عَبَسَ وَتَوَلَّىٰ
AAabasa watawalla

Swahili
 
Alikunja kipaji na akageuka,

Ayah  80:2  الأية
أَن جَاءَهُ الْأَعْمَىٰ
An jaahu al-aAAma

Swahili
 
Kwa sababu alimjia kipofu!

Ayah  80:3  الأية
وَمَا يُدْرِيكَ لَعَلَّهُ يَزَّكَّىٰ
Wama yudreeka laAAallahu yazzakka

Swahili
 
Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?

Ayah  80:4  الأية
أَوْ يَذَّكَّرُ فَتَنفَعَهُ الذِّكْرَىٰ
Aw yaththakkaru fatanfaAAahu aththikra

Swahili
 
Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?

Ayah  80:5  الأية
أَمَّا مَنِ اسْتَغْنَىٰ
Amma mani istaghna

Swahili
 
Ama ajionaye hana haja,

Ayah  80:6  الأية
فَأَنتَ لَهُ تَصَدَّىٰ
Faanta lahu tasadda

Swahili
 
Wewe ndio unamshughulikia?

Ayah  80:7  الأية
وَمَا عَلَيْكَ أَلَّا يَزَّكَّىٰ
Wama AAalayka alla yazzakka

Swahili
 
Na si juu yako kama hakutakasika.

Ayah  80:8  الأية
وَأَمَّا مَن جَاءَكَ يَسْعَىٰ
Waamma man jaaka yasAAa

Swahili
 
Ama anaye kujia kwa juhudi,

Ayah  80:9  الأية
وَهُوَ يَخْشَىٰ
Wahuwa yakhsha

Swahili
 
Naye anaogopa,

Ayah  80:10  الأية
فَأَنتَ عَنْهُ تَلَهَّىٰ
Faanta AAanhu talahha

Swahili
 
Ndio wewe unampuuza?

Ayah  80:11  الأية
كَلَّا إِنَّهَا تَذْكِرَةٌ
Kalla innaha tathkira

Swahili
 
Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.

Ayah  80:12  الأية
فَمَن شَاءَ ذَكَرَهُ
Faman shaa thakarah

Swahili
 
Basi anaye penda akumbuke.

Ayah  80:13  الأية
فِي صُحُفٍ مُّكَرَّمَةٍ
Fee suhufin mukarrama

Swahili
 
Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa,

Ayah  80:14  الأية
مَّرْفُوعَةٍ مُّطَهَّرَةٍ
MarfooAAatin mutahhara

Swahili
 
Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.

Ayah  80:15  الأية
بِأَيْدِي سَفَرَةٍ
Bi-aydee safara

Swahili
 
Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,

Ayah  80:16  الأية
كِرَامٍ بَرَرَةٍ
Kiramin barara

Swahili
 
Watukufu, wema.

Ayah  80:17  الأية
قُتِلَ الْإِنسَانُ مَا أَكْفَرَهُ
Qutila al-insanu ma akfarah

Swahili
 
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?

Ayah  80:18  الأية
مِنْ أَيِّ شَيْءٍ خَلَقَهُ
Min ayyi shay-in khalaqah

Swahili
 
Kwa kitu gani amemuumba?

Ayah  80:19  الأية
مِن نُّطْفَةٍ خَلَقَهُ فَقَدَّرَهُ
Min nutfatin khalaqahu faqaddarah

Swahili
 
Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.

Ayah  80:20  الأية
ثُمَّ السَّبِيلَ يَسَّرَهُ
Thumma assabeela yassarah

Swahili
 
Kisha akamsahilishia njia.

Ayah  80:21  الأية
ثُمَّ أَمَاتَهُ فَأَقْبَرَهُ
Thumma amatahu faaqbarah

Swahili
 
Kisha akamfisha, akamtia kaburini.

Ayah  80:22  الأية
ثُمَّ إِذَا شَاءَ أَنشَرَهُ
Thumma itha shaa ansharah

Swahili
 
Kisha apendapo atamfufua.

Ayah  80:23  الأية
كَلَّا لَمَّا يَقْضِ مَا أَمَرَهُ
Kalla lamma yaqdi maamarah

Swahili
 
La! Hajamaliza aliyo muamuru.

Ayah  80:24  الأية
فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ إِلَىٰ طَعَامِهِ
Falyanthuri al-insanuila taAAamih

Swahili
 
Hebu mtu na atazame chakula chake.

Ayah  80:25  الأية
أَنَّا صَبَبْنَا الْمَاءَ صَبًّا
Anna sababna almaasabba

Swahili
 
Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,

Ayah  80:26  الأية
ثُمَّ شَقَقْنَا الْأَرْضَ شَقًّا
Thumma shaqaqna al-arda shaqqa

Swahili
 
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,

Ayah  80:27  الأية
فَأَنبَتْنَا فِيهَا حَبًّا
Faanbatna feeha habba

Swahili
 
Kisha tukaotesha humo nafaka,

Ayah  80:28  الأية
وَعِنَبًا وَقَضْبًا
WaAAinaban waqadba

Swahili
 
Na zabibu, na mimea ya majani,

Ayah  80:29  الأية
وَزَيْتُونًا وَنَخْلًا
Wazaytoonan wanakhla

Swahili
 
Na mizaituni, na mitende,

Ayah  80:30  الأية
وَحَدَائِقَ غُلْبًا
Wahada-iqa ghulba

Swahili
 
Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,

Ayah  80:31  الأية
وَفَاكِهَةً وَأَبًّا
Wafakihatan waabba

Swahili
 
Na matunda, na malisho ya wanyama;

Ayah  80:32  الأية
مَّتَاعًا لَّكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ
MataAAan lakum wali-anAAamikum

Swahili
 
Kwa manufaa yenu na mifugo yenu.

Ayah  80:33  الأية
فَإِذَا جَاءَتِ الصَّاخَّةُ
Fa-itha jaati assakhkha

Swahili
 
Basi utakapo kuja ukelele,

Ayah  80:34  الأية
يَوْمَ يَفِرُّ الْمَرْءُ مِنْ أَخِيهِ
Yawma yafirru almaro min akheeh

Swahili
 
Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye,

Ayah  80:35  الأية
وَأُمِّهِ وَأَبِيهِ
Waommihi waabeeh

Swahili
 
Na mamaye na babaye,

Ayah  80:36  الأية
وَصَاحِبَتِهِ وَبَنِيهِ
Wasahibatihi wabaneeh

Swahili
 
Na mkewe na wanawe -

Ayah  80:37  الأية
لِكُلِّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ يَوْمَئِذٍ شَأْنٌ يُغْنِيهِ
Likulli imri-in minhum yawma-ithinsha/nun yughneeh

Swahili
 
Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.

Ayah  80:38  الأية
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ مُّسْفِرَةٌ
Wujoohun yawma-ithin musfira

Swahili
 
Siku hiyo ziko nyuso zitazo nawiri,

Ayah  80:39  الأية
ضَاحِكَةٌ مُّسْتَبْشِرَةٌ
Dahikatun mustabshira

Swahili
 
Zitacheka, zitachangamka;

Ayah  80:40  الأية
وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ عَلَيْهَا غَبَرَةٌ
Wawujoohun yawma-ithin AAalayhaghabara

Swahili
 
Na nyuso siku hiyo zitakuwa na mavumbi,

Ayah  80:41  الأية
تَرْهَقُهَا قَتَرَةٌ
Tarhaquha qatara

Swahili
 
Giza totoro litazifunika,

Ayah  80:42  الأية
أُولَٰئِكَ هُمُ الْكَفَرَةُ الْفَجَرَةُ
Ola-ika humu alkafaratu alfajara

Swahili
 
Hao ndio makafiri watenda maovu.
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us