Prev  

89. Surah Al-Fajr سورة الفجر

  Next  



1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
وَالْفَجْرِ
Walfajr

Swahili
 
Naapa kwa alfajiri,

Ayah  89:2  الأية
وَلَيَالٍ عَشْرٍ
Walayalin AAashr

Swahili
 
Na kwa masiku kumi,

Ayah  89:3  الأية
وَالشَّفْعِ وَالْوَتْرِ
WashshafAAi walwatr

Swahili
 
Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,

Ayah  89:4  الأية
وَاللَّيْلِ إِذَا يَسْرِ
Wallayli itha yasr

Swahili
 
Na kwa usiku unapo pita,

Ayah  89:5  الأية
هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجْرٍ
Hal fee thalika qasamun lithee hijr

Swahili
 
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?

Ayah  89:6  الأية
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ
Alam tara kayfa faAAala rabbuka biAAad

Swahili
 
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

Ayah  89:7  الأية
إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ
Irama thati alAAimad

Swahili
 
Wa Iram, wenye majumba marefu?

Ayah  89:8  الأية
الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ
Allatee lam yukhlaq mithluha fee albilad

Swahili
 
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?

Ayah  89:9  الأية
وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ
Wathamooda allatheena jaboo assakhrabilwad

Swahili
 
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?

Ayah  89:10  الأية
وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ
WafirAAawna thee al-awtad

Swahili
 
Na Firauni mwenye vigingi?

Ayah  89:11  الأية
الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ
Allatheena taghaw fee albilad

Swahili
 
Ambao walifanya jeuri katika nchi?

Ayah  89:12  الأية
فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ
Faaktharoo feeha alfasad

Swahili
 
Wakakithirisha humo ufisadi?

Ayah  89:13  الأية
فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ
Fasabba AAalayhim rabbuka sawtaAAathab

Swahili
 
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.

Ayah  89:14  الأية
إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ
Inna rabbaka labilmirsad

Swahili
 
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.

Ayah  89:15  الأية
فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ
Faamma al-insanu itha maibtalahu rabbuhu faakramahu wanaAAAAamahu fayaqoolu rabbeeakraman

Swahili
 
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!

Ayah  89:16  الأية
وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ
Waamma itha ma ibtalahufaqadara AAalayhi rizqahu fayaqoolu rabbee ahanan

Swahili
 
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!

Ayah  89:17  الأية
كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ
Kalla bal la tukrimoonaalyateem

Swahili
 
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,

Ayah  89:18  الأية
وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala tahaddoona AAala taAAamialmiskeen

Swahili
 
Wala hamhimizani kulisha masikini;

Ayah  89:19  الأية
وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا
Wata/kuloona atturatha aklanlamma

Swahili
 
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,

Ayah  89:20  الأية
وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا
Watuhibboona almala hubbanjamma

Swahili
 
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.

Ayah  89:21  الأية
كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا
Kalla itha dukkati al-ardudakkan dakka

Swahili
 
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,

Ayah  89:22  الأية
وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا
Wajaa rabbuka walmalaku saffansaffa

Swahili
 
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,

Ayah  89:23  الأية
وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ
Wajee-a yawma-ithin bijahannamayawma-ithin yatathakkaru al-insanu waannalahu aththikra

Swahili
 
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?

Ayah  89:24  الأية
يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي
Yaqoolu ya laytanee qaddamtu lihayatee

Swahili
 
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!

Ayah  89:25  الأية
فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُ أَحَدٌ
Fayawma-ithin la yuAAaththibuAAathabahu ahad

Swahili
 
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.

Ayah  89:26  الأية
وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُ أَحَدٌ
Wala yoothiqu wathaqahu ahad

Swahili
 
Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.

Ayah  89:27  الأية
يَا أَيَّتُهَا النَّفْسُ الْمُطْمَئِنَّةُ
Ya ayyatuha annafsualmutma-inna

Swahili
 
Ewe nafsi iliyo tua!

Ayah  89:28  الأية
ارْجِعِي إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةً مَّرْضِيَّةً
IrjiAAee ila rabbiki radiyatanmardiyya

Swahili
 
Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.

Ayah  89:29  الأية
فَادْخُلِي فِي عِبَادِي
Fadkhulee fee AAibadee

Swahili
 
Basi ingia miongoni mwa waja wangu,

Ayah  89:30  الأية
وَادْخُلِي جَنَّتِي
Wadkhulee jannatee

Swahili
 
Na ingia katika Pepo yangu.
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us